Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 35:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Jumuiya itamwokoa mtu huyo aliyeua mikononi mwa jamaa ya mtu aliyeuawa, na kumrudisha katika mji wa makimbilio alimokuwa amekimbilia. Atakaa huko mpaka kifo cha kuhani mkuu wa wakati huo aliyeteuliwa kwa kupakwa mafuta matakatifu.

Kusoma sura kamili Hesabu 35

Mtazamo Hesabu 35:25 katika mazingira