Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 33:23-35 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Kutoka Kehelatha, walipiga kambi yao kwenye Mlima Sheferi.

24. Kutoka Mlima Sheferi walipiga kambi yao huko Harada.

25. Kutoka Harada, walipiga kambi yao huko Makelothi.

26. Kutoka Makelothi, walipiga kambi yao huko Tahathi.

27. Kutoka Tahathi walipiga kambi yao Tera.

28. Kutoka Tera walipiga kambi yao Mithka.

29. Kutoka Mithka, walipiga kambi yao Hashmona.

30. Kutoka Hashmona, walipiga kambi yao Moserothi.

31. Kutoka Moserothi, walipiga kambi yao Bene-yaakani.

32. Kutoka Bene-yaakani, walipiga kambi yao Hor-hagidgadi.

33. Kutoka Hor-hagidgadi, walipiga kambi yao Yot-batha.

34. Kutoka Yot-batha, walipiga kambi yao Abrona.

35. Kutoka Abrona, walipiga kambi yao Esion-geberi.

Kusoma sura kamili Hesabu 33