31. Mose na kuhani Eleazari walifanya kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose.
32. Nyara walizoteka wanajeshi zilikuwa: Kondoo 675,000,
33. ng'ombe 72,000,
34. punda 61,000,
35. na wasichana ambao hawakuwa wamelala na mwanamume 32,000.
36. Nusu yake, sehemu ambayo iligawiwa wanajeshi waliokwenda vitani, ilikuwa kondoo 337,500,