Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 30:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama mumewe atakaposikia habari zake, akizitangua na kuzibatilisha, basi, hata kama alitaka kutimiza nadhiri au ahadi zake, hatawajibika kuzitimiza; mumewe atakuwa amezitangua na Mwenyezi-Mungu atamsamehe.

Kusoma sura kamili Hesabu 30

Mtazamo Hesabu 30:12 katika mazingira