Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 3:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Wafuatao ndio wazawa wa Aroni na Mose wakati Mwenyezi-Mungu alipozungumza na Mose mlimani Sinai.

2. Haya ndiyo majina ya wana wa Aroni: Nadabu, mzaliwa wake wa kwanza, Abihu, Eleazari na Ithamari.

3. Hawa waliwekwa wakfu kwa kupakwa mafuta wawe makuhani.

Kusoma sura kamili Hesabu 3