Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 28:28-31 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Sadaka ya nafaka itakayoandamana nazo itakuwa ya unga safi uliochanganywa na mafuta kilo tatu kwa kila fahali, kilo mbili kwa kila kondoo dume,

29. na kilo moja kwa kila mwanakondoo.

30. Mtatoa pia beberu mmoja kuwa sadaka ya kuondoa dhambi ili kuwafanyia upatanisho.

31. Mtatoa vitu hivi licha ya ile sadaka ya kuteketezwa ya kawaida pamoja na sadaka yake ya kinywaji.

Kusoma sura kamili Hesabu 28