Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 26:43-52 Biblia Habari Njema (BHN)

43. ukoo ulikuwa na wanaume 64,400.

44. Kabila la Asheri lilikuwa na jamaa za Imna, Ishvi na Beria.

45. Koo za Heberi na Malkieli zilitokana na Beria.

46. Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.

47. Hizo ndizo koo za kabila la Asheri, jumla wanaume 53,400.

48. Kabila la Naftali lilikuwa na jamaa za Yaseeli, Guni,

49. Yeseri na Shilemu.

50. Hizi ndizo koo za kabila la Naftali, jumla wanaume 45,400.

51. Idadi ya wanaume Waisraeli waliohesabiwa ilikuwa 601,730.

52. Kisha Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Kusoma sura kamili Hesabu 26