31. Asrieli, Shekemu,
32. Shemida na Heferi.
33. Selofehadi, mwana wa Heferi hakupata watoto wa kiume bali wa kike tu, nao ni Mala, Noa, Hogla, Milka na Tirza.
34. Hizo ndizo koo za Manase, jumla wanaume 52,700.
35. Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.