Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 26:29-46 Biblia Habari Njema (BHN)

29. Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.

30. Yezeri, Heleki,

31. Asrieli, Shekemu,

32. Shemida na Heferi.

33. Selofehadi, mwana wa Heferi hakupata watoto wa kiume bali wa kike tu, nao ni Mala, Noa, Hogla, Milka na Tirza.

34. Hizo ndizo koo za Manase, jumla wanaume 52,700.

35. Kabila la Efraimu lilikuwa na jamaa za Shuthela, Bekeri na Tahani.

36. Ukoo wa Erani ulikuwa na jamaa ya Shuthela.

37. Hizo ndizo koo za Efraimu, jumla wanaume 32,500. Zote hizo zilitokana na Yosefu.

38. Kabila la Benyamini lilikuwa na jamaa za Bela, Ashbeli, Ahiramu,

39. Shufamu na Hufamu.

40. Koo za Ardi na Naamani, zilitokana na Bela.

41. Hizo ndizo koo za Benyamini, jumla wanaume 45,600.

42. Kabila la Dani lilikuwa na jamaa ya Shuhamu;

43. ukoo ulikuwa na wanaume 64,400.

44. Kabila la Asheri lilikuwa na jamaa za Imna, Ishvi na Beria.

45. Koo za Heberi na Malkieli zilitokana na Beria.

46. Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.

Kusoma sura kamili Hesabu 26