Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 26:27-33 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Hizo ndizo koo za Zebuluni, jumla wanaume 60,500.

28. Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.

29. Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.

30. Yezeri, Heleki,

31. Asrieli, Shekemu,

32. Shemida na Heferi.

33. Selofehadi, mwana wa Heferi hakupata watoto wa kiume bali wa kike tu, nao ni Mala, Noa, Hogla, Milka na Tirza.

Kusoma sura kamili Hesabu 26