27. Hizo ndizo koo za Zebuluni, jumla wanaume 60,500.
28. Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.
29. Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.
30. Yezeri, Heleki,
31. Asrieli, Shekemu,
32. Shemida na Heferi.
33. Selofehadi, mwana wa Heferi hakupata watoto wa kiume bali wa kike tu, nao ni Mala, Noa, Hogla, Milka na Tirza.