24. Yashubu na wa Shimroni.
25. Hizo ndizo koo za Isakari, jumla wanaume 64,300.
26. Kabila la Zebuluni lilikuwa na jamaa za Seredi, wa Eloni na wa Yaleeli.
27. Hizo ndizo koo za Zebuluni, jumla wanaume 60,500.
28. Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.
29. Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.
30. Yezeri, Heleki,
31. Asrieli, Shekemu,
32. Shemida na Heferi.