Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 26:20-25 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Shela, Peresi, na Zera.

21. Kutoka kwa Peresi, familia ya Hesroni na Hamuli.

22. Hizo ndizo koo za Yuda, jumla wanaume 76,500.

23. Kabila la Isakari lilikuwa na jamaa za Tola, Puva,

24. Yashubu na wa Shimroni.

25. Hizo ndizo koo za Isakari, jumla wanaume 64,300.

Kusoma sura kamili Hesabu 26