Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 26:16-20 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Ozni, Eri,

17. Arodi na Areli.

18. Hizo ndizo koo za kabila la Gadi, jumla wanaume 40,500.

19. Kabila la Yuda lilikuwa na wanawe wa Yuda Eri na Onani. Hawa walifia nchini Kanaani.

20. Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Shela, Peresi, na Zera.

Kusoma sura kamili Hesabu 26