Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 26:11-29 Biblia Habari Njema (BHN)

11. Pamoja na hayo wana wa Kora hawakufa.)

12. Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,

13. Zera na Shauli.

14. Hizo ndizo koo za kabila la Simeoni, jumla yao wanaume 22,000.

15. Kabila la Gadi lilikuwa na jamaa za Sefoni, Hagi, Shuni,

16. Ozni, Eri,

17. Arodi na Areli.

18. Hizo ndizo koo za kabila la Gadi, jumla wanaume 40,500.

19. Kabila la Yuda lilikuwa na wanawe wa Yuda Eri na Onani. Hawa walifia nchini Kanaani.

20. Kabila la Yuda lilikuwa na jamaa za Shela, Peresi, na Zera.

21. Kutoka kwa Peresi, familia ya Hesroni na Hamuli.

22. Hizo ndizo koo za Yuda, jumla wanaume 76,500.

23. Kabila la Isakari lilikuwa na jamaa za Tola, Puva,

24. Yashubu na wa Shimroni.

25. Hizo ndizo koo za Isakari, jumla wanaume 64,300.

26. Kabila la Zebuluni lilikuwa na jamaa za Seredi, wa Eloni na wa Yaleeli.

27. Hizo ndizo koo za Zebuluni, jumla wanaume 60,500.

28. Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.

29. Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.

Kusoma sura kamili Hesabu 26