Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 26:10-16 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Wakati huo ardhi ilifunguka ikawameza, wakafa pamoja na Kora na wafuasi wake moto ulipoangamiza watu 250; wakawa onyo kwa watu.

11. Pamoja na hayo wana wa Kora hawakufa.)

12. Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,

13. Zera na Shauli.

14. Hizo ndizo koo za kabila la Simeoni, jumla yao wanaume 22,000.

15. Kabila la Gadi lilikuwa na jamaa za Sefoni, Hagi, Shuni,

16. Ozni, Eri,

Kusoma sura kamili Hesabu 26