Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 23:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Balaki akamwambia Balaamu, “Twende mahali pengine ambapo utaweza kuwaona; hata hivyo utaona tu sehemu yao, hutaweza kuwaona wote. Kisha uwalaani kutoka huko kwa niaba yangu.”

Kusoma sura kamili Hesabu 23

Mtazamo Hesabu 23:13 katika mazingira