Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 20:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mahali hapo walipopiga kambi hapakuwa na maji. Kwa hiyo watu jumuiya yote, wakakusanyika kinyume cha Mose na Aroni.

Kusoma sura kamili Hesabu 20

Mtazamo Hesabu 20:2 katika mazingira