Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 19:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu aliye safi atachukua husopo, halafu ataichovya katika maji hayo, kisha atainyunyizia hema, vyombo vyote vilivyomo ndani ya hema na watu waliokuwamo ndani. Atamnyunyizia pia mtu aliyegusa mfupa wa mtu, au mwili wa mtu aliyeuawa au aliyekufa kifo cha kawaida, au aliyegusa kaburi.

Kusoma sura kamili Hesabu 19

Mtazamo Hesabu 19:18 katika mazingira