Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 18:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wewe peke yako na wanao mtatoa huduma zote za kikuhani kwa ajili ya madhabahu na vyote vilivyomo katika mahali patakatifu. Huo ni wajibu wenu, kwa sababu ninawapeni kipawa cha ukuhani. Mtu yeyote asiyestahili atakayevikaribia vyombo vya hema, atauawa.”

Kusoma sura kamili Hesabu 18

Mtazamo Hesabu 18:7 katika mazingira