Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 16:46 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akamwambia Aroni, “Chukua chetezo chako, kitie moto na kukiweka kando ya madhabahu, kisha ukitie ubani halafu uende nacho haraka kwa watu na kuwafanyia upatanisho. Fanya haraka! Ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu imekwisha wafikia na pigo limeanza kuwashambulia.”

Kusoma sura kamili Hesabu 16

Mtazamo Hesabu 16:46 katika mazingira