Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 15:3 Biblia Habari Njema (BHN)

mkanitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka kutoka katika mifugo yenu, sadaka ya kuteketezwa au tambiko, ili mtu atimize nadhiri aliyoweka au kutoa sadaka ya hiari au sadaka ya wakati wa sikukuu zenu zilizowekwa, na kufanya harufu nzuri ya kunipendeza mimi Mwenyezi-Mungu,

Kusoma sura kamili Hesabu 15

Mtazamo Hesabu 15:3 katika mazingira