Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 14:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Jumuiya yote ya Waisraeli ikaangua kilio kikubwa, watu wakalia usiku ule.

2. Waliwalalamikia Mose na Aroni wakisema, “Afadhali tungefia Misri! Afadhali tungefia papa hapa jangwani!

3. Kwa nini Mwenyezi-Mungu anatupeleka katika nchi hiyo? Tutauawa vitani, na wake zetu na watoto wetu watachukuliwa mateka! Si afadhali turudi Misri?”

Kusoma sura kamili Hesabu 14