Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 13:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Waamaleki wanakaa katika eneo la Negebu; Wahiti, Wayebusi na Waamori wanakaa katika eneo la milima, na Wakanaani wanakaa karibu na bahari ya Mediteranea na karibu na kingo za mto Yordani.”

Kusoma sura kamili Hesabu 13

Mtazamo Hesabu 13:29 katika mazingira