Agano la Kale

Agano Jipya

Hagai 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mlitazamia mavuno mengi, lakini mlipata kidogo tu. Na mlipoyaleta nyumbani, niliyapeperusha mbali. Kwa nini? Kwa sababu hekalu langu ni magofu matupu hali kila mmoja wenu anashughulikia nyumba yake.

Kusoma sura kamili Hagai 1

Mtazamo Hagai 1:9 katika mazingira