Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 9:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Wayahudi wanaoa wanawake wa kigeni na kuwaoza wavulana wao pia. Hivyo, taifa takatifu la Mungu limechanganyika na watu wa mataifa mengine Isitoshe, maofisa na wakuu ndio wa kwanza kutenda maovu hayo.”

Kusoma sura kamili Ezra 9

Mtazamo Ezra 9:2 katika mazingira