Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 9:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, wewe ni mwenye haki na umetuacha tubaki kama tulivyo hivi leo. Tunaungama makosa yetu mbele yako, tukijua kuwa hakuna aliye na haki yoyote ya kuja mbele yako kwa ajili ya makosa haya.”

Kusoma sura kamili Ezra 9

Mtazamo Ezra 9:15 katika mazingira