Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 8:8-14 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Zebadia, mwana wa Mikaeli, wa ukoo wa Shefatia, pamoja na wanaume 80.

9. Obadia, mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Yoabu, pamoja na wanaume 218.

10. Shelomithi, mwana wa Yosifia, wa ukoo wa Bani, pamoja na wanaume 160.

11. Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

12. Yohanani, mwana wa Hakatani, wa ukoo wa Azgadi, pamoja na watu 110.

13. Elifeleti, Yeueli na Shemaya, wa ukoo wa Adonikamu, pamoja na wanaume 60, (hawa walirudi baadaye).

14. Uthai na Zakuri, wa ukoo wa Bigwai, pamoja na wanaume 70.

Kusoma sura kamili Ezra 8