Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 8:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, watu wote waliorudi kutoka uhamishoni walimtolea Mungu wa Israeli sadaka zao za kuteketezwa. Walitoa mafahali 12 kwa ajili ya Israeli yote, kondoo madume 96 na wanakondoo 77; pia walitoa mbuzi 12 kama sadaka ya kuondoa dhambi. Wanyama wote hawa walitolewa kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Ezra 8

Mtazamo Ezra 8:35 katika mazingira