Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 8:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo siku ya nne, tukiwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tulipima ile fedha, dhahabu na vile vyombo, kisha tukamkabidhi kuhani Meremothi, mwana wa Uria. Meremothi alikuwa pamoja na Eleazari, mwana wa Finehasi, na Walawi wawili, Yozabadi, mwana wa Yeshua, na Noadia, mwana wa Binui.

Kusoma sura kamili Ezra 8

Mtazamo Ezra 8:33 katika mazingira