Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 8:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. aliyekuwa mwana wa Shekania. Zekaria, wa ukoo wa Paroshi, pamoja na wanaume 150 wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja.

4. Eliehoenai, mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahath-moabu, pamoja na wanaume 200.

5. Shekania, mwana wa Yahazieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume 300.

6. Ebedi, mwana wa Yonathani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume 50.

Kusoma sura kamili Ezra 8