3. aliyekuwa mwana wa Shekania. Zekaria, wa ukoo wa Paroshi, pamoja na wanaume 150 wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja.
4. Eliehoenai, mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahath-moabu, pamoja na wanaume 200.
5. Shekania, mwana wa Yahazieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume 300.
6. Ebedi, mwana wa Yonathani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume 50.