Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 8:3-12 Biblia Habari Njema (BHN)

3. aliyekuwa mwana wa Shekania. Zekaria, wa ukoo wa Paroshi, pamoja na wanaume 150 wa ukoo wake, walioandikishwa pamoja.

4. Eliehoenai, mwana wa Zerahia, wa ukoo wa Pahath-moabu, pamoja na wanaume 200.

5. Shekania, mwana wa Yahazieli, wa ukoo wa Zatu, pamoja na wanaume 300.

6. Ebedi, mwana wa Yonathani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume 50.

7. Yeshaya, mwana wa Athalia, wa ukoo wa Elamu, pamoja na wanaume 70.

8. Zebadia, mwana wa Mikaeli, wa ukoo wa Shefatia, pamoja na wanaume 80.

9. Obadia, mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Yoabu, pamoja na wanaume 218.

10. Shelomithi, mwana wa Yosifia, wa ukoo wa Bani, pamoja na wanaume 160.

11. Zekaria, mwana wa Bebai, wa ukoo wa Bebai, pamoja na wanaume 28.

12. Yohanani, mwana wa Hakatani, wa ukoo wa Azgadi, pamoja na watu 110.

Kusoma sura kamili Ezra 8