Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 7:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa saba wa utawala wa mfalme Artashasta, Ezra alifunga safari kutoka Babuloni kwenda Yerusalemu. Baadhi ya watu wa Israeli, makuhani, Walawi, waimbaji, walinda malango na wahudumu wa hekalu walikwenda pamoja naye.

Kusoma sura kamili Ezra 7

Mtazamo Ezra 7:7 katika mazingira