Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 7:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Ifuatayo ni barua ambayo Artashasta alimpa Ezra, kuhani na mwandishi, na mwenye ujuzi katika amri na masharti ambayo Mwenyezi-Mungu aliwapa watu wa Israeli.

Kusoma sura kamili Ezra 7

Mtazamo Ezra 7:11 katika mazingira