Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, wakati wa utawala wa mfalme Artashasta wa Persia, palikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Ezra. Ezra alikuwa mwana wa Seraya, mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,

Kusoma sura kamili Ezra 7

Mtazamo Ezra 7:1 katika mazingira