Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 6:3 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wake, mfalme Koreshi alitoa amri nyumba ya Mungu ijengwe upya mjini Yerusalemu, na iwe mahali pa kutolea tambiko na sadaka za kuteketezwa. Kimo chake kitakuwa mita 27 na upana wake mita 27.

Kusoma sura kamili Ezra 6

Mtazamo Ezra 6:3 katika mazingira