Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 6:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Viongozi wa Wayahudi waliendelea vizuri sana na kazi ya ujenzi wa hekalu, wakitiwa moyo kwa mahubiri ya nabii Hagai na Zekaria, mwana wa Ido. Walimaliza ujenzi wa hekalu kama walivyoamriwa na Mungu wa Israeli, na kama walivyoagizwa na mfalme Koreshi, mfalme Dario na mfalme Artashasta, wa Persia.

Kusoma sura kamili Ezra 6

Mtazamo Ezra 6:14 katika mazingira