Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 5:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mungu alikuwa anawalinda viongozi wa Wayahudi, kwa hiyo maofisa hao hawakuwakataza mpaka hapo walipomwandikia mfalme Dario na kupata maoni yake.

Kusoma sura kamili Ezra 5

Mtazamo Ezra 5:5 katika mazingira