Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 5:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia alivirudisha vyombo vya dhahabu na fedha ambavyo mfalme Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la Babuloni. Vyombo hivyo Koreshi aliviondoa hekaluni Babuloni na kumkabidhi Sheshbaza ambaye alikuwa amemteua awe mtawala wa Yuda; alimwamuru

Kusoma sura kamili Ezra 5

Mtazamo Ezra 5:14 katika mazingira