Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 5:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, manabii wawili, Hagai na Zekaria, mwana wa Ido, waliwatolea unabii Wayahudi waliokuwa wanakaa Yuda na Yerusalemu, katika jina la Mungu wa Israeli.

Kusoma sura kamili Ezra 5

Mtazamo Ezra 5:1 katika mazingira