Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 3:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Wajenzi walipoanza kuweka msingi wa hekalu la Mwenyezi-Mungu, makuhani wakiwa wamevalia mavazi yao rasmi, walisimama mahali pao na tarumbeta mikononi, nao Walawi wa ukoo wa Asafu wakisimama na matoazi yao; basi, walimtukuza Mwenyezi-Mungu kufuatana na maagizo ya mfalme Daudi wa Israeli.

Kusoma sura kamili Ezra 3

Mtazamo Ezra 3:10 katika mazingira