Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:68 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu hao waliotoka uhamishoni, walipofika kwenye nyumba ya Mwenyezi-Mungu mjini Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa koo hizo walitoa matoleo ya hiari ili kusaidia ujenzi wa nyumba ya Mungu katika Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Ezra 2

Mtazamo Ezra 2:68 katika mazingira