51. ukoo wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri,
52. ukoo wa Basluthi, wa Mehida, wa Harsha,
53. ukoo wa Barkosi, wa Sisera, wa Tema,
54. ukoo wa Nezia na wa Hatifa.
55. Koo za wazawa wa watumishi wa Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa, ukoo wa Sotai, wa Hasoferethi, wa Perudha,
56. ukoo wa Yaala, wa Darkoni, wa Gideli,