Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:48-58 Biblia Habari Njema (BHN)

48. ukoo wa Resini, wa Nekoda, wa Gazamu,

49. ukoo wa Uza, wa Pasea, wa Besai,

50. ukoo wa Asna, wa Meunimu, wa Nefisimu,

51. ukoo wa Bakbuki, wa Hakufa, wa Harhuri,

52. ukoo wa Basluthi, wa Mehida, wa Harsha,

53. ukoo wa Barkosi, wa Sisera, wa Tema,

54. ukoo wa Nezia na wa Hatifa.

55. Koo za wazawa wa watumishi wa Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa, ukoo wa Sotai, wa Hasoferethi, wa Perudha,

56. ukoo wa Yaala, wa Darkoni, wa Gideli,

57. ukoo wa Shefatia, wa Hatili, wa Pokereth-hasebaimu na wa Ami.

58. Nao watumishi wote wa hekalu na wazawa wa watumishi wa Solomoni waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa watu 392.

Kusoma sura kamili Ezra 2