Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:40-45 Biblia Habari Njema (BHN)

40. Walawi wa ukoo wa Yeshua na wa Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

41. Waimbaji (wazawa wa Asafu), walikuwa 128.

42. Walinzi (wazawa wa Shalumu, wa Ateri, wa Talmoni, wa Akubu, wa Hatita na wa Shobai), walikuwa 139.

43. Koo za watumishi wa hekalu waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Siha, wa Hasufa, wa Tabaothi,

44. ukoo wa Kerosi, wa Siaha, wa Padoni,

45. ukoo wa Lebana, wa Hagaba, wa Akubu,

Kusoma sura kamili Ezra 2