Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:37-50 Biblia Habari Njema (BHN)

37. wa ukoo wa Imeri: 1,052;

38. wa ukoo wa Pashuri: 1,247;

39. wa ukoo wa Harimu: 1,017.

40. Walawi wa ukoo wa Yeshua na wa Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.

41. Waimbaji (wazawa wa Asafu), walikuwa 128.

42. Walinzi (wazawa wa Shalumu, wa Ateri, wa Talmoni, wa Akubu, wa Hatita na wa Shobai), walikuwa 139.

43. Koo za watumishi wa hekalu waliorudi kutoka uhamishoni zilikuwa: Ukoo wa Siha, wa Hasufa, wa Tabaothi,

44. ukoo wa Kerosi, wa Siaha, wa Padoni,

45. ukoo wa Lebana, wa Hagaba, wa Akubu,

46. ukoo wa Hagabu, wa Shamlai, wa Hanani,

47. ukoo wa Gideli, wa Gahari, wa Reaya,

48. ukoo wa Resini, wa Nekoda, wa Gazamu,

49. ukoo wa Uza, wa Pasea, wa Besai,

50. ukoo wa Asna, wa Meunimu, wa Nefisimu,

Kusoma sura kamili Ezra 2