2. Viongozi wao walikuwa Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana.Ifuatayo ni idadi ya watu wote wa koo za Israeli waliorudi kutoka uhamishoni:
3. Wa ukoo wa Paroshi: 2,172;
4. wa ukoo wa Shefatia: 372;
5. wa ukoo wa Ara: 775;
6. wa ukoo wa Pahath-moabu, yaani wazawa wa Yeshua na Yoabu: 2,812;
7. wa ukoo wa Elamu: 1,254;
8. wa ukoo wa Zatu: 945;