Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:2-13 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Viongozi wao walikuwa Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana.Ifuatayo ni idadi ya watu wote wa koo za Israeli waliorudi kutoka uhamishoni:

3. Wa ukoo wa Paroshi: 2,172;

4. wa ukoo wa Shefatia: 372;

5. wa ukoo wa Ara: 775;

6. wa ukoo wa Pahath-moabu, yaani wazawa wa Yeshua na Yoabu: 2,812;

7. wa ukoo wa Elamu: 1,254;

8. wa ukoo wa Zatu: 945;

9. wa ukoo wa Zakai: 760;

10. wa ukoo wa Bani: 842;

11. wa ukoo wa Bebai: 623;

12. wa ukoo wa Azgadi: 1,222;

13. wa ukoo wa Adonikamu: 666;

Kusoma sura kamili Ezra 2