19. wa ukoo wa Hashumu: 223;
20. wa ukoo wa Gibari: 95.
21. Watu wa mji wa Bethlehemu: 123;
22. wa mji wa Netofa: 56;
23. wa mji wa Anathothi: 128;
24. wa mji wa Azmawethi: 42;
25. wa mji wa Kiriath-yearimu, wa Kefira na wa Beerothi: 743;
26. wa mji wa Rama na wa Geba: 621;
27. wa mji wa Mikmashi: 122;
28. wa mji wa Betheli na Ai: 223;
29. wa mji wa Nebo: 52;
30. wa mji wa Magbishi: 156;
31. wa mji wa Elamu wa pili: 1,254;
32. wa mji wa Harimu: 320;
33. wa mji wa Lodi, Hadidi na wa Ono: 725;
34. wa mji wa Yeriko: 345;
35. wa mji wa Senaa: 3,630.
36. Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 673;