Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:16-34 Biblia Habari Njema (BHN)

16. wa ukoo wa Ateri, yaani Hezekia: 98;

17. wa ukoo wa Besai: 323;

18. wa ukoo wa Yora: 112;

19. wa ukoo wa Hashumu: 223;

20. wa ukoo wa Gibari: 95.

21. Watu wa mji wa Bethlehemu: 123;

22. wa mji wa Netofa: 56;

23. wa mji wa Anathothi: 128;

24. wa mji wa Azmawethi: 42;

25. wa mji wa Kiriath-yearimu, wa Kefira na wa Beerothi: 743;

26. wa mji wa Rama na wa Geba: 621;

27. wa mji wa Mikmashi: 122;

28. wa mji wa Betheli na Ai: 223;

29. wa mji wa Nebo: 52;

30. wa mji wa Magbishi: 156;

31. wa mji wa Elamu wa pili: 1,254;

32. wa mji wa Harimu: 320;

33. wa mji wa Lodi, Hadidi na wa Ono: 725;

34. wa mji wa Yeriko: 345;

Kusoma sura kamili Ezra 2