Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 2:1-15 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Wafuatao ni watu wa mkoani waliotoka utumwani ambao Nebukadneza mfalme wa Babuloni aliwapeleka mateka Babuloni, wakarudi mjini Yerusalemu na nchini Yuda. Kila mtu alirudi mjini kwake.

2. Viongozi wao walikuwa Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana.Ifuatayo ni idadi ya watu wote wa koo za Israeli waliorudi kutoka uhamishoni:

3. Wa ukoo wa Paroshi: 2,172;

4. wa ukoo wa Shefatia: 372;

5. wa ukoo wa Ara: 775;

6. wa ukoo wa Pahath-moabu, yaani wazawa wa Yeshua na Yoabu: 2,812;

7. wa ukoo wa Elamu: 1,254;

8. wa ukoo wa Zatu: 945;

9. wa ukoo wa Zakai: 760;

10. wa ukoo wa Bani: 842;

11. wa ukoo wa Bebai: 623;

12. wa ukoo wa Azgadi: 1,222;

13. wa ukoo wa Adonikamu: 666;

14. wa ukoo wa Bigwai: 2,056;

15. wa ukoo wa Adini: 454;

Kusoma sura kamili Ezra 2